Vyombo vya Kauri (9)
中国国际广播电台
 

     Katika Enzi ya Shang (1600 K.K.-1046 K.K.) aina moja ya joka lililosemekana kuwa ni mnyama mwenye uroho ilikuwa ikichorwa kwenye sahani ya shaba nyeusi. Katika enzi za Yuan, Ming na Qing (karne ya 13-19) sura ya joka hilo ilikuwa ikichorwa sana katika sahani za kauri.

  Pichani ni sura ya joka hilo kwenye sahani. Joka hilo linaonekana linaruka angani katika sehemu ya katikati ya sahani na sehemu nyingine ilichorwa majani.