中国国际广播电台
Kinanda cha Rewapu ni ala ya muziki yenye nyuizi na inatoa sauti kwa kukwaruzwa. Kinanda hicho kimekuwepo kwa miaka zaidi ya 600 na kinawavutia sana watu wa kabila la Uygur, Tajik na Uzbek mkoani Xinjiang.
Kinanda hicho kinatengenezwa kwa mbao, sehemu ya chini ni boksi la kukuza sauti lenye umbo la nusu mviringo.
Kuna kinanda cha aina yenye nyuzi tatu, tano, sita hadi tisa.
Kinanda hicho kinapigwa kwa mkono wa kulia na mkono wa kushoto unadhibiti sauti kwa vidole.
Kuna aina nyingine za kindanda cha kwa tofauti za nyuzi na maumbo, na sauti pia zinatofautiana ingawa si sana
mnasikiliza: kinanda changu cha Rewapu
|