Wu Xueqian

中国国际广播电台


Wu Xueqian : Alikuwa waziri wa mambo ya nje wa China toka mwaka 1982 hadi 1988.

Aliwahi kuwa naibu waziri mkuu wa China, mjumbe wa taifa na waziri wa mambo ya nje. Alipokuwa mjumbe wa taifa na waziri wa mambo ya nje aliwahi kufanya ziara katika nchi zaidi ya 50 kama vile, Korea ya kaskazini, Malaysia, Japan, Misri, Kenya, Zambia, Romania, Ufaransa, Ujerumani, Marekani, Canada, Argentina, na Brazil.