Tang Jiaxuan

中国国际广播电台


Tang Jiaxuan: Alikuwa waziri wa mambo ya nje wa China toka mwaka 1998 hadi 2003.

Alizaliwa Mwezi Januari, 1938 huko Shanghai, maskani yake ni Zhengjiang mkoani Jiangsu. Toka mwaka 1970 hadi 1978, alikuwa ofisa katika shirikisho la urafiki wa watu wa China na nchi za nje na shirikisho la urafiki wa China na Japan. Alikuwa balozi mdogo na balozi wa China nchini Japan toka mwaka 1988 hadi 1999. Alikuwa msaidizi wa waziri wa mambo ya nje toka mwaka 1991 hadi 1993. Alikuwa naibu waziri wa mambo ya nje toka mwaka 1993 hadi 1998. Alikuwa waziri wa mambo ya nje mwaka 1998. Amekuwa mjumbe wa kitaifa kuanzia Mwezi Machi, 2003.