• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Serikali ya jimbo la Catalonia nchini Hispania yatoa wito wa mazungumzo

    (GMT+08:00) 2017-10-11 08:56:59

    Mkuu wa serikali ya jimbo la Catalonia nchini Hispania, Bw. Carles Puidgemont amependekeza kusitisha mchakato wa kutangaza uhuru kwa wiki kadhaa ili kuacha nafasi kwa ajili ya mazungumzo. Bw. Puigdemont amesema hayo jana kwenye bunge la jimbo hilo ambako alishiriki kwenye mkutano wa kutathmini hali ya kisiasa jimboni Catalonia, baada ya kura ya maoni isiyo halali kufanyika Oktoba Mosi. Bw. Puigdemont amesema suala la Catalonia ni suala la Ulaya, na kwamba njia ya pekee ya kupata maendeleo ni kupitia amani na demokrasia.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako