Baada ya kuhudhuria ufunguzi wa mkutano wa mwaka wa baraza la Asia la Boao, rais Xi Jinping wa China jana mchana alikutana na viongozi wa nchi mbalimbali, wakiwemo waziri mkuu wa Uholanzi Mark Rutte, waziri mkuu wa Pakistan Shahid Khaqan Abbasi, waziri mkuu wa Mongolia Ukhnaagiin Khurelsukh, na rais Rodrigo Duterte wa Phillipines, na wamejadili ushirikiano katika ujenzi wa "Ukanda Mmoja, Njia Moja"
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |