• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kenya-Wanawake wanatawala kazi za juu sekta ya utengenezaji bidhaa

    (GMT+08:00) 2020-09-17 19:52:31

    Wanawake nchini Kenya wanashikilia nafasi nyingi za uongozi katika sekta ya viwanda kuliko wanaume.

    Haya ni kwa mujibu utafiti mpya wa Chama cha Watengezaji Bidhaa Kenya (KAM).

    Ripoti hiyo ya kwanza ya "Wanawake katika sekta ya utengenezaji bidhaa" inaonyesha kuwa wanaume wanamiliki mgao mkubwa wa wafanyakazi wote (64%) kilinganishwa na asilimia 36 ya uwakilishi wa wanawake.

    Kulingana na uanachama wa KAM ,makampuni katika sekta ya utengenezaji bidhaa kwa kiwango kikubwa yanamilikiwa na wanaume,hata hivyo kwa ujumla wanawake wanawake wanashikilia nafasi nyingi za uongozi.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako