Rais Xi amesema inapaswa kuimarisha na kukamilisha mfumo wa kimsingi wa shughuli za vijijini, kuhimiza mageuzi ya ardhi, kuhamasisha wakulima kuendeleza kilimo cha kisasa, ili kuanzisha mazingira mazuri kwa ajili ya ustawi wa vijiji na kutimiza mambo ya kisasa vijijini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |