Rais Xi Jinping wa China jana alitoa hotuba kwa njia ya video kwenye Baraza la tatu la Amani la Paris, akitoa mwito wa kushikilia mshikamano na kusaidiana katika kupambana kwa pamoja na COVID-19, kuhimiza kufufuka kwa uchumi kwa njia ya uwazi na ushirikiano, na kutetea haki ili kulinda kwa pamoja amani ya dunia. Vilevile ameitaka dunia ijenge jumuiya ya binadamu yenye hatma ya pamoja, na kuwanufaisha zaidi watu duniani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |