• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Waandishi wa habari kutoka Afrika na Asia-Pacific wameonyeshwa jinsi ya kutumia teknolojia mpya inayoitwa Ariel kupanda miti katika jangwa la Kubuqi

    (GMT+08:00) 2019-09-12 15:15:50
    Waandishi wa habari kutoka Afrika na Asia-Pacific wameonyeshwa jinsi ya kutumia teknolojia mpya inayoitwa Ariel kupanda miti katika jangwa la Kubuqi, ulioko mkoa wa Inner Mongolia nchini China. China ina uzoefu mkubwa katika kupigana na jangwa na kwa sasa, takriban asilimia 65 ya

    jangwa hilo ni kijani.

    NA VICTOR ONYANGO


    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako