• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Baidoa-"Waziri mkuu" wa Somalia atoa ombi la kujiuzulu

    (GMT+08:00) 2008-12-25 19:29:34

    Bw. Mohamed Mohamoud Guled ambaye ni "Waziri mkuu" aliyeteuliwa juzijuzi na rais Abdulah Yusuf wa Somalia tarehe 24 ametangaza kujiuzulu, kwa sababu hataki kuchukuliwa kuwa ni kikwazo cha kuzuia mchakato wa amani ya Somalia.

    Bw. Guled siku hiyo huko Baidoa alitangaza uamuzi wake wa kujiuzulu, lakini bado haijajulikana kwamba rais Yusofu amekubali ombi lake la kujiuzulu au la.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako