• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Deogratius Kamagi, mwandishi wa habari wa Daily News Tanzania

    Msumbiji, Nigeria zaiomba China kusaidia kilimo cha mpunga

    Nchi za Msumbiji na Nigeria zimeiomba China kuzisaidia katika mbinu za kuboresha kilimo cha mpunga kwa ajili ya kuongeza uzalishaji na kuokoa gharama za kuagiza chakula hicho nje ya nchi.

    Hiki ndicho Afrika inaweza kujifunza kutoka China katika kuondoa umasikini vijijini

    Katika juhudi zake za kuendelea kupambana na umasikini hasa katika maeneo ya vijijini, nchi zinazoendea ikiwemo, Tanzania zinaweza kuiga jitihada mbalimbali zilizochukuliwa na zinazoendelea kufanywa na jimbo la Shaanxi nchini China hasa katika kukuza kilimo na sekta ya utalii.

    Hiki ndicho Afrika inaweza kujifunza kutoka China katika kuondoa umasikini vijijini

    Katika juhudi zake za kuendelea kupambana na umasikini hasa katika maeneo ya vijijini, nchi zinazoendea ikiwemo, Tanzania zinaweza kuiga jitihada mbalimbali zilizochukuliwa na zinazoendelea kufanywa na jimbo la Shaanxi nchini China hasa katika kukuza kilimo na sekta ya utalii.

    More>>

    Majaliwa Christopher Oswero, mhariri wa Habari Msaidizi, Daily News, Tanzania

    • Tuna mengi ya kujifunza China, makamu wa Rais wa Tanzania asisitiza

    MAKAMU wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema nchi hiyo ya Afrika Mashariki ina mambo mengi ya kujifunza kutoka kwa China katika juhudi zake za kuboresha maisha ya watu na kufanya Mageuzi makubwa ya kiuchumi.

    • Balozi Kairuki ashauri namna ya kutatua changamoto za biashara kwa njia ya mtandao

    HUKU uwekezaji na biashara kati ya China na Tanzania ukiizidi kukua na kuimarika siku hadi siku, Balozi wa Tanzania jijini Beijing Mbelwa Kairuki ameshauri wafanyabiashara wa pande zote mbili kuwa makini hasa katika biashara kwa njia ya mtandao ili kuepuka changamoto za kuibiwa au kutapeliwa.

    • Rais Magufuli aielekeza kampuni ya CRJE ya China kumaliza kazi kwa wakati

    RAIS wa Tanzania Dkt. John Magufuli Jumamosi, Januari 11, 2020 aliweka jiwe la msingi la shule ya Sekondari ya Mwanakwerekwe iliyopo Zanzibar inayojengwa na Kampuni ya China Railway Jianchang Engineering Company Limited (CRJE).

    More>>

    Eric Biegon, mwandishi wa habari wa KBC Channel 1 TV, Kenya

    • Nchi zalenga kupanua uhusiano wa kibiashara na China kupitia maonyesho ya Shanghai

    Katika kile kinachoonyesha hali tofauti kabisa na hali ya mambo katika maeneo mengine ya dunia, China inajipanga kuandaa maonyesho ya kila mwaka ya China International Import Expo, kuashiria kurejea kwa hali ya kawaida katika taifa hilo lenye uchumi wa pili kwa ukubwa duniani.

    • Kenya na China zasisitiza haja ya ushirikiano wa kimataifa

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na mwenzake wa China Xi Jinping wameelezea wasiwasi wao kuhusu kudhoofika kwa ushirikiano wa Kimataifa, hatua ambayo wamesema utaacha ulimwengu katika hali hafifu hasa kutokana kwa shinikizo zinazohatarisha utulivu wake.

    • Hatua madhubuti za China za kukomesha matumizi mabaya ya data

    Juhudi za kimataifa za kuwalinda watumiaji wa teknolojia ya kidijitali pamoja na juhudi za kusitisha matumizi mabaya ya data, yalipigwa jeki wiki hii baada ya China kuzindua mwongozo inayokusudiwa kuhakikisha usalama wa habari na uendelezaji wa uchumi wa kidijitali ambao unaendelea kupanuka kila uchao.

    More>>

    Victor Onyango, mwandishi wa habari wa Daily Nation, Kenya

    • Vyombo vya habari vimehimizwa kujenga ulimwengu wa umoja

    Waandishi wa habari kote ulimwenguni wamehimizwa kuchangia katika maendeleo ya uchumi wa dunia kupitia hadithi zao.

    • Afrika Kusini yatarajia kuvutia wawekezaji wachina kupitia CIIE

    Naibu waziri wa Biashara na Viwanda wa Afrika Kusini Bi Gina Nomalungelo ameisifu China kwa kujitolea kwake kuendelea kufungua soko lake kubwa kwa ulimwengu.

    • Nchi za Afrika Mashariki zapiga kambi mjini Shanghai kuimarisha biashara zao

    Nchi za Afrika Mashariki zimeimarisha utaftaji wao wa sehemu ya soko la China lenye uwezo wa bilioni 1.4 kwa ajili wa kurekebisha nakisi ya biashara.

    More>>

    Trix Ingado Luvindi, mtangazaji wa habari katika KTN, Kenya

    • JUHUDI ZA KUONDOA UMASKINI AFRIKA KUPITIA USHIRIKIANO

    Kati ya malengo ya ushirikiano endelevu kati ya Africa na China kuondoa janga la umaskini ni mojawapo ya malengo kuu. Licha ya dharura iliyoko katika kuondoa umaskini barani Afrika , ni muhimu kuzingatia kwamba sio jambo rahisi kukabiliana nalo.

    • MAKAVAZI YA KIHISTORIA SHANGHAI
    • FOCAC 2018 NA MATARAJIO YAKE

    Mwakani 2015 kongamano kuu la Forum for China Africa Corporation yaani FOCAC lilifanyika mjini Johannesburg Africa Kusini. Sababu kubwa ya mkutano huu ilikuapanga mbinu ambazo China na nchi mbalimali barani Afrika zingeweza kushirikiana katika maswala ya maendeleo.

    More>>

    Theopista Nsanzugwanko, mwandishi wa habari wa Daily News na Habari Leo, Tanzania

    • China yatangaza fursa ya vijana wa Tanzania kupata uzoefu wa maandiko ya biashara ili kujiajiri

    CHINA imetangaza fursa kwa vijana wa Tanzania kwenda nchini China kuongeza uzoefu maandiko ya kibiashara ili waweze kujiajiri kuliko kutegemea kuajiriwa na Serikali.

    • Madaktari toka China watoa msaada wa dawa na vifaa tiba vyenye thamani ya milioni 15 kwa Taasisi ya Moyo JKCI

    MADAKTARI toka china wanaofanya kazi nchini Tanzania wametoa msaada wa vifaa tiba na dawa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)

    • Mashirika yasiyo ya kiserikali ya Tanzania na China yasaini mkataba kushirikiana kuondoa umasikini

    MASHIRIKA yasiyo ya kiserikali saba kwa kila nchi kutoka Tanzania na China yamesaini mkataba wa ushirikiano katika nyanja tofauti kwa lengo la kuondoa umasikini.

    More>>
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako