• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Lemden-Rais wa Mauritania aliyepinduliwa atangaza kususia uchaguzi mkuu

    (GMT+08:00) 2009-04-10 15:00:32

    Rais wa Mauritania aliyepinduliwa Bw. Sidi Mohamed Ould Cheikh Abdallahi tarehe 9 huko Lemden alipohojiwa na waandishi wa habari alisema, hatashiriki kwenye uchaguzi wa rais wa Mauritania utakaofanyika tarehe 6 Juni.

    Bw. Abdallahi alisema, "huu ni mchezo unaoandaliwa na upande mmoja tu wa utawala wa kijeshi, ambao unakwenda kinyume na katiba, na hauna maana hata kidogo."

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako