Na mkurugenzi wa Sauti ya Tanzania Zanzibar Bw. Yusuf Chunda ametuletea barua pepe tena akifahamisha kuwa, Vipindi vyetu vya Chemsha Bongo vinaruka hewani kama alivyoeleza na tayari viwili visharuka hewani. Pia amesema ameamuwa yeye mwenyewe kuwa mara vitakapomalizika vyote vinne kuruka hewani avirejee tena kuvirusha hewani kama ifuatavyo.
1 kipindi cha Chemsha Bongo namba moja kitarushwa hewani tena tarehe 6-5-09 saa 11.30 jioni.
2 Kipindi cha Chemsha Bongo namba mbili kitarushwa hewani tena tarehe 27-5-09 saa 10.15 jioni
3 Kipindi cha Chemsha Bongo namba tatu kitarushwa hewani tena tarehe 30-5-09 saa10.30 jioni.
4. Kipindi cha Chemsha Bongo namba nne kitarushwa hewani tena tarehe 1-6-09 saa 11.15 jioni.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |