Bendi ya Sisi Tambala kutoka Tanzania ilialikwa hivi karibuni kwenye studio ya Redio China Kimataifa, wakidokeza jinsi wanavyotangaza muziki wa kiafrika nchini China, kuishi na wachina na kubadilishana uzoefu na wasanii wa China, tangu wawasili Beijing miezi sita iliyopita. Sehemu ya kwanza ya kipindi. Sehemu ya Pili
Msanii Ignas Kapyunka
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |