Mke wa rais wa Tanzania Mama Salma Kikwete ambaye alikuja hapa Beijing kuhudhuria mkutano wa wanawake duniani, aliongea na CRI idhaa ya Kiswahili kuhusu mchango waliotoa wanawake katika maendeleo ya jamii, na changamoto zinazowakabili wanawake kwa sasa. Bonyeza hapa kutusikiliza.