• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • "Mahodhi ya kuhifadhia maji"

    (GMT+08:00) 2011-07-27 18:43:14

    "Mahodhi ya kuhifadhia maji" ni mradi mmoja wa kutoa huduma za maji. Ulianzishwa na Mfuko wa maendeleo ya wanawake ya China mwaka 2001, lengo lake ni kuwasaidia wakazi waliokaa kwenye sehemu ya magharibi nchini China hususan wanawake wajiondoke kutoka hali duni kutokana na tatizo la ukosefu wa maji. Hadi sasa kwa ujumla wamenufaisha watu zaidi ya milioni 1.7. Hivi karibuni mwandishi wa habari Pili Mwinyi ametembelea mkoa huo, na kushuhudia jinsi mahodhi ya aina hiyo yanavyofanya kazi. Kipindi hiki cha Sauti ya Wanawake kitazungumzia hali halisi kuhusu mradi huo.
    Mbali na hayo, kipindi hiki pia kitazungumzia saratani ya matiti, na namna ya kutunza uso wakati wa kuwa njiani kwenye pilikapilika za kila siku.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako