Mkutano mkuu wa 18 wa Chama cha Kikomunisti cha China utafanyika kesho tarehe 8 hapa Beijing. Wajumbe 2200 kutoka sehemu mbalimbali nchini humo wamefika Beijing kwa ndege, treni na magari ili kuhudhuria mkutano huo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |