• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Ushirikishwaji wa wanawake kwenye shughuli mbalimbali za maendeleo

    (GMT+08:00) 2013-01-14 21:14:45

    Kwa muda wa miongo kadhaa iliyopita, wanawake wametokea kuwa ni wenye juhudi kubwa katika masuala ya jamii zao. Lakini hadi sasa bado wangali mbali sana na mahali ambapo wangestahili kuwa, iwe ni katika sekta binafsi au ya umma. Hali hii inatokana na ukosefu wa usawa wa jinsia ambao unaendelea kusababisha matatizo mengi barani Afrika na hata duniani. Wanawake wanaponyimwa haki zao za msingi zikiwemo kufanya maamuzi au kukoseshwa udhibiti wa raslimali kama vile ardhi na nyinginezo, wanashindwa kuleta maendeleo kuanzia ngazi ya familia hadi taifa. Lakini ni vyema tukajiuliza kwanini hadi leo baadhi ya tamaduni zinamzuia mwanamke kushiriki moja kwa moja katika kuleta maendeleo, au kwanini fursa za elimu hazitolewi kwa usawa kati ya mwanamke na mwanamume?

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako