• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Desturi ya kutoa bahasha nyekundu kwa watoto imebadilika kuwa mzigo kwa watu

    (GMT+08:00) 2013-03-09 21:08:55

    Sikukuu ya mwaka mpya wa jadi wa China imemalizika hivi karibuni, katika sikukuu hii kuna desturi moja ya kuwapa watoto bahasha nyekundu ambayo ndani yake mna fedha taslim kwa mfano " mtoto mmoja wa kiume alipewa bahasha nyekundu zenye pesa elfu 20 ndani ya siku saba", na "mfanyakazi mmoja wa kampuni moja alitoa bahasha nyekundu 46 wakati wa sikukuu hiyo". Hivyo suala hili la kutoa bahasha nyekundu linafuatiliwa sana na watu kila baada ya kumalizika kwa sikukuu ya mwaka mypa wa jadi wa China.
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako