Mkutano wa maandalizi kwa ajili ya mkutano wa pili wa bunge la 12 la umma la China umefanyika leo hapa Beijing. Mkutano huo ulioendeshwa na spika wa bung la umma Zhang Dejiang ulichagua prisidium na katibu mkuu wa mkutano wa pili wa bunge la 12 la umma, na kupitisha ajenda ya mkutano huo.
Kwenye mkutano huo Bw. Zhang Dejiang ametangaza kuwa mkutano wa pili wa bunge la 12 la umma la China utafunguliwa kesho, na maandalizi yote yamemalizika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |