Kikao cha pili cha mkutano wa pili wa Baraza la 12 la mashauriano ya kisiasa la China kimefanyika leo alasiri na kuhudhuriwa na mwenyekiti wa baraza hilo Bw. Yu Zhengsheng. Katika kikao hicho, wajumbe 16 wametoa hotuba kuhusu maendeleo ya kiuchumi na ujenzi wa ustaarabu wa mazingira.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |