Waziri mkuu wa China Bw. Li Keqiang leo amehutubia mkutano wa kilele wa Afrika wa Baraza la uchumi la dunia.
Bw. Li Keqiang amesema, ingawa ongezeko la uchumi wa China limepungua kuliko miaka iliyopita, lakini China ina msingi imara wa kudumisha ongezeko endelevu la uchumi. Amesema China itazingatia zaidi ubora na ufanisi wa ongezeko la uchumi, ili kulifanya ongezeko hilo liwe endelevu na kunufaisha watu kwa haki na usawa.
(Upendo, Carol, Simba)
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |