Waziri mkuu wa China Bw. Li Keqiang leo amefanya mazungumzo na rais Jose Eduardo dos Santos wa Angola akitoa wito wa kusainiwa mapema kwa makubaliano ya kulinda uwekezaji kati ya China na Angola.
(Simba, Carol)
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |