• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Wadau nchini Tanzania kupambana na matumizi ya dawa za kulevya kwa vijana

    (GMT+08:00) 2014-08-12 16:52:59

    Maadhimisho ya siku ya vijana yenye kauli mbiu ya vijana na afya ya akili yamefanyika. Nchini Tanzania, vijana wengi wanakabiliwa na tatizo la matumizi ya dawa za kulevya na pombe kali. Kutokana na hali hiyo, wadau wameamua kupambana na tatizo hilo kwa njia nyingi ikiwemo kutoa elimu kwa vijana.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako