• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • China yarusha chombo kisichobeba watu kwa ajili ya majaribio ya taknolojia

    (GMT+08:00) 2014-10-24 11:07:22

    China imerusha chombo kisichobeba mtu kwenye anga ya juu leo alfajiri kwa ajili ya kuifanyia majaribio teknolojia itakayotumiwa kwenye chombo cha Chang'e-5, kinachotarajiwa kurushwa na China kwenye sayari ya mwezi na kurudishwa duniani.

    Mwezi Desemba mwaka jana, China ilifanikiwa kurusha chombo cha Chang'e-3. Chombo hicho kilichobeba chombo cha kufanya utafiti kinachojulikana kama Yutu kilitua salama kwenye mwezi.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako