• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Msanii wa Kenya: Tamasha za maonyesho ya sanamu ya Changsha zilinisaidia kufahamu umuhimu wa kutumia mashine

    (GMT+08:00) 2014-11-04 16:41:48

    Gerard Oroo (mwenye shati nyekundu) pamoja na washiriki wengine kwenye tamasha za kimataifa za Changsha wakibeba bango wakati wa ufunguzi wa tamasha hizo

    Tamasha za kimataifa za maonyesho ya sanamu zimekamilika mjini Changsha katika mkoa wa Hunan hapa nchini China.

    tamasha hizo ziliwaleta pamoja zaidi ya wachonga sanamu 20 maarufu kutoka nchi kama vile za Afrika, China, Marekani, Ujerumani na Italia.

    Bwana Gerard Mutondi Oroo kutoka Kenya ni mmoja wa wasanii walioshiriki maonyesho hayo ya wiki mbili.

    Alizungumza na mwandishi wetu Ronald Mutie na alianza kwa kumuuliza sanamu alizoleta kwenye maonyesho haya ya Changsha.

    Gerard Oroo azungumzia wanafunzi kwenye shule moja mkoani Hunan nchini China. Aliwaeleza kuhusu uchongaji sanamu za kiafrika na pia kuhusu tamasha za kimataifa zilizoandaliwa mjini Changasha

    Gerard Oroo kutoka Kenya akisafisha mojawepo wa sanamu zake alizoonyesha kwenye tamasha za kimataifa mjini Changsha nchini China. Zaidi ya wasanii wengine 20 kutoka kote duniani walishiriki

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako