Rais Xi Jinping wa China leo asubuhi ameondoka Beijing kuelekea Australia kuhudhuria mkutano wa 9 wa viongozi wa kundi la nchi 20. Baada ya mkutano huo rais Xi Jinping pia atafanya ziara nchini Australia, New Zealand na Fiji.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |