Kuanzia tarehe 5 usiku, kikosi cha matibabu cha jeshi la China nchini Liberia kimepokea watu watatu wanaodhaniwa kuambukizwa ugonjwa wa Ebola, ambapo kituo cha matibabu cha Ebola kinachoendeshwa na China nchini humo kimeanza kuwahudumia wagonjwa wa Ebola.
Mpaka sasa, kituo hicho kimechukua sampuli za damu ya wagonjwa hao, na kuzipeleka kwenye shirika husika kupima, ili kuthibitisha kama wameambukizwa virusi vya Ebola.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |