Wataalam hao watatu wataondoka kesho ili kutoa mafunzo ya mwezi mmoja kwa wahudumu wa afya 500 nchini Guinea Bissau.
Hadi kufikia mwezi Oktoba, China ilikuwa imetuma wataalam 450 wa afya katika nchi za Afrika magharibi na kuzijengea nchi hizo maabara na vituo vya matibabu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |