David Owino, ambaye bado yuko kwenye kandarasi ya miezi sita na timu ya Gor Mahia amekiuwa akilengwa na vilabu kadhaa ikiwemo Azam ya Tanzania na Ajax Cape Town ya Afrika Kusini.
Duru zinasema kwamba Zambia tayari imeanza mazungumzo na David na wanapania kumpa donge nono.
Ikiwa basi David atajiunga na klabu hiyo, Gor Mahia itakuwa imepoteza mchezaji mwinghine mairi baada ya Dan Sserunkuma na kiungo wa kati Baba Kizito kukataa kusaini upya kandarasi zao na klabu hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |