Rais Ellen Johnson Sirleaf wa Liberia amesema janga la ebola limeathiri nchi yake sio kiafya na kijamiii tu bali pia kiuchumi. Amesema ebola imefanya kupungua kwa ukuaji wa kiuchumi kutoka asilimia 5.9 hadi 0.4 huku sekta kama vile uchimbaji madini, biashara, uchukuzi na sekta ya huduma zimeathirika zaidi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |