• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • China yaufanya michezo wa soka kuwa somo rasmi shuleni

    (GMT+08:00) 2015-04-02 14:06:01

    Moja kati ya mambo yanayowakosesha raha wachina kwenye michezo ni timu yao ya soka kutofanya vizuri. Kumekuwa na mjadala wa muda mrefu kuhusu namna ya kuimarisha soka ya China na kuifanya timu ya taifa ya wanaume ifanye vizuri, lakini matokeo bado si mazuri. Hali nzuri ni kwamba hivi karibuni China imetangaza mpango wake wa kufanya mageuzi katika mambo ya soka. Mageuzi hayo yana hatua 50, moja kati yao ni kuufanya michezo wa soka kuwa somo rasmi shuleni. Hii itaweka msingi mzuri katika kuondoa udhaifu wa soka ya China. Kwa sababu tunajua soka huwa inaanza kwenye msingi, na huu si mchezo ambao mtu anaweza kujifunza ukubwani.

    Kwa undani zaidi sikiliza kipindi chetu.

     


    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako