Refa Jacob Adongo kutoka Mara, akisaidiwa na washika vibendera Frednand Chacha (Mwanza), Hellen Mduma (Dar es Salaam), ndio watakaoendesha michezo wa leo.
Hata hivyo, kwa Yanga, itakuwa ni kama kukamilisha ratiba wakati Azam wanahitaji ushindi katika vita kati yao na Simba ya kugombania nafasi ya pili.
Bingwa, ambao ni Yanga watawaikilisha nchi katika michuano ya ligi ya mabingwa afrika wakati mshindi wa pili (kati ya Azam na Simba) wataiwakilisha nchi katika michuano ya kombe la Shirikisho.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |