Jonesia Rukya ameteuliwa kama mwamuzi wa kati, akisaidiwa na washika vibendera, Dalila Jafari na Sophia Mtongoli huku mwamuzi wa akiba akiwa ni Hellen Mduma.
Mashindano hayo yatafanyika Jumamosi ijayo jijini Kinshasa.
Wakati huo huo Elizabeth Kalinga ameteuliwa kuwa kamisaa wa mchezo kati ya Kenya dhidi ya Botswana kuwania kufuzu kwa michuano ya Olympiki, mchezo utakaofanyika Mei 31, 2015 nchini Kenya.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |