Kikosi kilichoko Uingereza kinaongozwa na nahodha Collins Injera, na wacheaji Humphrey Kayange Daniel Sikuta - Mwamba Dennis Ombachi Michael Wanjala - Pan Africa Strathmore Leos Tony Opondo - Billy Odhiambo - Oscar Ayodi - Bush Mwale - Augustine Lugonzo na Biko Adema -
Mkufunzi Felix Ochieng amefanya mabadiliko kwenye kikosi chake kinachoshikilia nafasi ya kumi na tatu kwenye jedwali hilo kufuatia msururu wa matokeo duni.
Jumamosi kenya natarajiwa kuchuana na New Zealand na Afrika kusini na baadaye kucheza dhidi ya Samoa
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |