Kongamano la forodha za nchi zilizo kwenye Ukanda wa kiuchumi wa njia ya hariri na njia ya hariri ya baharini ya karne 21 limeanza leo huko Xi'an, katikati ya China.
Wakuu na wajumbe wa forodha kutoka nchi 70 zilizo kwenye Ukanda Mmoja na Njia Moja zimetoa mapendekezo sita kuhusu kuimarisha ushirikiano wa forodha, ili kurahisisha biashara, na kusukuma mbele maendeleo ya uchumi wa kanda hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |