Mwaka huu ni mwaka wa maadhimisho ya miaka 45 tangu reli ya TAZARA ianze kufanya kazi. Hivi karibuni kitabu maalum kuhusu reli ya TAZARA kilizinduliwa kwenye hafla iliyohudhuriwa na maofisa wa China na wengine kutoka Tanzania na Zambia. Yaliyomo kwenye kitabu hicho yameelezwa na washiriki wa ujenzi ambao kwa sasa ni wazee. Katika kipindi hiki cha leo tutawafahamisha hali ilikuwaje na kitabu chenyewe hasa kinaeleza nini.
20150730 China Machoni Mwetu
|
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |