• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Mji wa Zhengzhou-Mji mkubwa ulioko katikati wa China

    (GMT+08:00) 2015-08-20 18:50:08

    Mji wa Zhengzhou ulioko katikati ya China. Mji huu wenye historia ndefu umekuwa ni mji wenye maendeleo ya kasi, na sasa unaendelea kukua kuwa moja kati ya miji ya kisasa na wenye nguvu ya ushindani. Wiki hii ni wiki ya matangazo ya redio na maonyesho ya picha za mji wa Zhengzhou. Uzinduzi wa wiki hiyo umefanyika mjini Nairobi, Kenya. Mwezetu Ronald Mutie alibahatika kutembelea mji huo. Kwenye kipindi hiki atatufahamisha zaidi kuhusu historia, mambo yalivyo sasa ya mji huo na hata wenyeji wanaelezaje ni mambo gani yanapatikana kwenye mji huo.

    hebu sikilize kipindi hiki.

     


    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako