Jeshi la Iraq jana lilitoa taarifa likisema jeshi lake la angani lilishambulia kituo cha siri cha kundi la IS mkoani Anbar, magharibi mwa nchi hiyo na kuwaua viongozi watano wa kundi hilo waliopanga shambulizi lililosababisha vifo vya maofisa wawili wa jeshi la Iraq.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |