Leo ni siku ya maadhimisho ya miaka 70 tangu China ipate ushindi kwenye vita ya kupambana na wavamizi wajapan. Katika kuadhimisha ushindi huo, China leo imefanya gwaride kubwa leo asubuhi hapa Beijing. Ushindi huo msikilizaji ulipatikana baada ya mapambano makali yaliyodumu kwa miaka 14, na kusababisha hasara kubwa ya mali na maisha ya watu, wengi wakiwa raia wa kawaida. Maadhimisho hayo yanalenga kuwakumbusha wachina wote wasisahau historia na janga lililoletwa na vita, pia yanaonesha moyo wa wachina kuthamini na kudumisha amani.
Kwa uundani zaidi hebu sikilize kipindi chetu
20150903 China Machoni Mwetu
|
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |