• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • China kwa mara ya kwanza yatoa vigezo vya kitaifa vya usimamizi wa utoaji wa gesi chafu

    (GMT+08:00) 2015-11-19 20:02:11
    Tume ya vigezo ya kitaifa ya China kwa mara ya kwanza imetoa vigezo vya usimamizi wa utoaji wa gesi chafu. Vigezo hivyo vinahusu sekta 10 zikiwemo uzalishaji umeme, chuma cha pua, viwanda vya kemikali, na saruji.

    Vigezo hivi vitaanza kutekelezwa tarahe mosi Juni mwakani.

    Naibu mkurugenzi mkuu wa kamati ya vigezo ya taifa ya China Bw. Yin Minghan amesema vigezo hivyo vipya vinaweka bayana njia ya kuhesabu kiasi cha utoaji wa gesi chafu katika idara za uzalishaji kiwandani na hata idara za ugavi kama vile mabafu na mabwalo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako