China imefanya sherehe ya kuwatuza watu na makundi mbalimbali kwa mchango wao katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ebola nchini humo na katika nchi za Afrika. Rais Xi Jinping wa China alituma barua akipongeza moyo wa dhati walio nao wafanyakazi wa China waliotoa msaada wa matibabu kwa nchi zilizoathiriwa na Ebola na kuzisaidia kudhibiti maambukizi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |