• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Mapambano dhidi ya UKIMWI

    (GMT+08:00) 2015-12-03 09:03:11

    Tarehe 1 Desemba ni siku ya UKIMWI duniani, serikali ya China ilitoa takwimu zinaonesha kuwa kwa sasa hapa China kuna watu laki 5.75 wanaoishi na virusi vya UKIMWI. Idadi hii ni sehemu ndogo sana ya idadi ya jumla ya watu zaidi ya bilioni 1.3 wa China. Na kwa kipindi cha miaka 30 iliyopita kiwango hicho kimeendelea kudhibitiwa bila kuwa na ongezeko kubwa. Leo kwenye kipindi hiki tutazungumzia China inafanya juhudi gani kupambana na ugonjwa huo.

     


    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako