Idara kuu ya ushuru ya China imesema, mapato ya kodi nchini humo kwa mwaka 2015 yamefikia dola za kimarekani trilioni 1.67, ambayo ni ongezeko la asilimia 6.6 kuliko mwaka 2014.
Takwimu zinaonyesha kuwa, mwaka 2015 sekta ya huduma iliendelezwa vizuri, na kodi kwenye sekta hiyo imechukua asilimia 54.8 ya kodi yote na kuongezeka kwa asilimia 1.9 kuliko mwaka uliopita.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |