Akizungumzia tetemeko hilo lenye nguvu ya 6.7 kwenye kipimo cha Richter lililotokea Jumamosi kusini mwa kisiwa hicho, Rais Xi amesema tetemeko hilo limesababisha hasara kubwa, na serikali inalifuatilia sana. Amesema watu wa China bara na wa Taiwan ni wa familia moja, na China bara iko tayari kutoa misaada ya kila aina kwa Taiwan.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |