• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Addis Ababa Ethiopia: Shirika la ndege la Ethiopia latajwa nambari moja kwa huduma za mizigo Afrika

    (GMT+08:00) 2016-05-03 18:46:23
    Shirika la ndege la Ethiopian Airline limeteuliwa katika nafasi ya kwanza kwa uchukuzi wake wa mizigo na utoaji wa huduma hiyo.

    Katika sherehe kuu ilioandaliwa jijini London Uingereza ,Shirika la Ethiopia limepongezwa kwa upana wa huduma zake ikiwa sasa zinafika hadi Ulaya,Kaskazini Marekani,mashariki ya kati,Asia na Afrika.

    Tewolde GebreMaria mkurugenzi wa shirika hillo anasema wamefurahia tuzo hiyo na watahakikisha wanaboresha huduma zao.

    Tuzo hizi huteuliwa na wadau 18,000 wa sekta ya uchukuzi wa ndege.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako