• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Nafasi ya China katika kundi la nchi 20 kunufaisha uchumi wa dunia

    (GMT+08:00) 2016-05-26 19:56:51
    Mtaalamu wa uhusiano wa kimataifa Alberto Laborde kutoka Mexico amesema, nafasi ya China kwenye kundi la nchi 20 (G20) ni muhimu sana, kwa kuwa uchumi wake uko katika hatua ya maendeleo kamili.

    Alberto amesema, maendeleo ya uchumi wa China yatanufaisha uchumi wa duniani. Amesema, mkutano ujao wa kundi hilo utakaofanyika Septemba nchini China utashirikisha mashirika ya jadi ya kifedha na nchi zinazoibuka kiuchumi za BRICS, ambazo zinahimiza utaratibu mpya wa kiuchumi na kifedha duniani.

    Ameongeza kuwa mkutano huo utaweka msisitizo kwenye uchumi badala ya masuala ya kisiasa.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako