Habari zinasema, mashambulizi hayo yaliwalenga wapiganaji wa IS walioko maeneo ya Kot na Achin, ambayo yameaminika kuwa ngome ya IS nchini Afghanistan.
Mpaka sasa kundi la IS halijatoa maoni juu ya mashambulizi hayo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |