Jeshi la Syria laendelea kupata maendeleo katika juhudi za kuukomboa Aleppo baada ya kutwaa eneo lingine. Jeshi hilo limetwaa udhibiti wa mlima Bazo ambao ni moja ya vituo vya waasi wa Jish al-Fateh baada ya kuushambulia kwa mizinga.
.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |